Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere kimezama, inadaiwa watu kadhaa wamefariki dunia
jamiiforums.com
Sep 20, 2018 3:12 PM
Taarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
====
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Tazama yote
Fungua Opera News kuona Maoni
Fuata timu ya mpira unayoipenda, matokeo moja kwa moja na matangazo
177
Chukia
COPY SUCCESSlarrybway91
BREAKING NEWZZZ : KIVUKO CHA MV MAGOGONI KIMEKOSA MUELEKEO MAJINI BAADA YA INJINI ZAKE KUSHINDWA KUFANYA KAZI.
Kivuko kikubwa cha Mv. Magogoni kinachofanya safari zake kati ya Kivukoni na Kigamboni jijini Dar es Salaam kimekosa muelekeo majini katika bahari ya Hindi kikiwa na abiria na magari baada ya injini zake kushindwa kufanya kazi.
Abiria tayari wamevaa maboya lakini hali ya wasiwasi imetanda, kwa taarifa zaidi endelea kutembelea blogu yako hii.
Muendelezo, Picha za hali ilivyokuwa baada kivuko kupata hitlafu.
No comments:
Post a Comment