Rais wa Venezuela Anasurika Kuuawa Katika Shambulio Wakati Akihutubia Taifa
muungwana.co.tz
CARACAS, VENEZUELA: Rais Nicolás Maduro anusurika katika jaribio la kuuawa wakati akihutubia taifa hilo
-
Jaribio hilo lililojeruhi Wanajeshi 7 lilitekelezwa kwa kutumia kifaa kidogo kinachoruka angani 'Drone'
-
Waziri wa Habari wa Venezuela, amesema kuwa kifaa hicho lilijazwa milipuko na kililenga kumshambulia Rais Maduro
-
Televevisheni ya taifa hilo iliyokuwa ikirusha matangazo ya hotuba hiyo alilazimika kukatisha matangazo wakati wa shambulio hilo
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.
121
Chukia
COPY SUCCESS
No comments:
Post a Comment