ERASTO BLOG

MICHEZO NA BURUDANI

Recent Posts

LightBlog

Breaking

Monday, August 6, 2018

Rais wa Venezuela Anasurika Kuuawa Katika Shambulio Wakati Akihutubia Taifa

Rais wa Venezuela Anasurika Kuuawa Katika Shambulio Wakati Akihutubia Taifa

muungwana.co.tz

Aug 5, 2018 1:00 PM

CARACAS, VENEZUELA: Rais Nicolás Maduro anusurika katika jaribio la kuuawa wakati akihutubia taifa hilo 

Jaribio hilo lililojeruhi Wanajeshi 7 lilitekelezwa kwa kutumia kifaa kidogo kinachoruka angani 'Drone' 

Waziri wa Habari wa Venezuela, amesema kuwa kifaa hicho lilijazwa milipuko na kililenga kumshambulia Rais Maduro 

Televevisheni ya taifa hilo iliyokuwa ikirusha matangazo ya hotuba hiyo alilazimika kukatisha matangazo wakati wa shambulio hilo 

Tazama yote

Fungua Opera News ili kusoma zaidi

Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.

Ripoti tatizo

121Chukia

COPY SUCCESS

No comments:

Post a Comment