Mwili wa Mzee Majuto Ulivyopokewa Tanga (Picha+Vide
wasimama mara 16
MAMIA ya waombolezaji jijini Tanga Mjini wamejitokeza kupokea mwili wa aliyekuwa muigizaji nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ alifariki Jumatano Agosti 8, 2018 saa 2:00 usiku katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mwili wa marehemu Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ ukipokelewa na wakazi wa jiji la Tanga baada ya kuwasili usiku wa jana ukitokea jijini Dar es Salaam.
…Wakiendelea kubeba Mwili wa marehemu.
Mtoto wa marehemu Habiba akilia.
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.
174
Chukia
COPY SUCCESS
No comments:
Post a Comment