Picha 6 za ajali ya Waziri Dkt Hamis Kigwangalla iliyotokea leo
swahilitimes.com
Aug 4, 2018 9:43 AM
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla amepata ajali katika eneo la Magugu mkoano Manyara. Waziri Kigwangalla amejeruhiwa maeneo mbalimbali ya mwili wake, huku mwanahabari Hamza Temba akifariki dunia.
Waziri Kigwangalla alikuwa katika ziara ya kikazi ambapo alikuwa akikagua utendaji kazi wa watendaji na mamlaka zilizopo chini yake pamoja na mapori mbalimbali nchini.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Augustino Senga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Taarifa za awali kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa, Waziri Kigwangalla alikuwa akisubiria helkopta ili awahiswe hospitali.
Hapa chini ni picha za ajali hiyo:
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.
Follow fav football team, live score & comentary
182
Chukia
COPY SUCCESS
No comments:
Post a Comment