ERASTO BLOG

MICHEZO NA BURUDANI

Recent Posts

LightBlog

Breaking

Monday, July 16, 2018

RUS 2018: Mgawanyo mzima wa fedha kombe la dunia! Bingwa anapewa kiasi gani!

Ubelgiji na England wamegombania £18 milioni. Mchezo wa leo binafsi umeboa wengi. Wengi wamesema bora kuangalia katuni. Ulikuwa mchezo wa walioshindwa. Ile hari ya upambanaji hakuna. nimewonea huruma wale waliokwenda St Petersburg. Ni kama walikuwa msibani tu.

Gareth Southgate na vijana wake walikuwa na ndoto ya kubeba ubingwa wa dunia. Swali linakuja kwa changamoto ipi kubwa walookumbana nayo? Kucheza dhdi ya Panama na Sweden? Hapana!

Tuachane na hayo.

Fifa walitenga kiasi cha £302million kwa ajili ya maandalizi ya zawadi za kombe la dunia, mnamo October 2017.

Timu zote 32 zilipewa £1.2million kwa kufika fainali hizo.

Bingwa kati ya Ufaransa na Croatia ataondoka na Euro milion 30. Mshindi wa pili atajibebea Euro milioni 21.

Bingwa atapewa £29million pamoja na hela ya kuingilia £1.2m.

Ushindi wa Belgium siku ya leo umempa nafasi ya kujitwalia £18million kwa kumaliza nafasi ya 3, huku England akijizolea £16.5million.

Mgawanyo mwingine

Timu zilizotolewa nafasi ya robo fainali ziliondoka na kitita cha £12.1million. Timu zilizotolewa mafasi ya 16 bora zilijizolea kitita cha £9million.

Zile timu 16 Poland, Germany na Egypt ambazo zilizolambishwa mchanga kwenye hatua ya makundi zilijizolea kitita cha £6million.

NafasikiasiJumlaMakundi$8m$128m16 bora$12m$96mRobo fainali$16m$64mNo 4$22m$22mNo 3$24m$24mMsh. 2$28m$28mMAMABINGWA$38m$38mTOTAL–$400

Zawadi kwa mwaka 2014

PositionPrize (per team)Total prize fundGroup Stage$8m$128mLast 16$9m$72mQuarter-finals$14m$56mFourth place$20m$20mThird place$22m$22mRunners-up$25m$25mWinners$35m$35mTOTAL–$358m

Kumbukumbu zinginezo

Mwaka 2002 mshindi wa tatu alitwaliwa Uturuki.

Mwaka 2006 mshindi wa tatu alitwaliwa ujerumani.

Mwaka 2010 mshindi wa tatu alitwaliwa Ujerumani.

Mwaka 2014, mshindi wa tatu alitwaliwa Uholanzi.

Mwaka 2018, mshindi wa tatu alitwaliwa Belgium.

Tazama yote

Fungua Opera News ili kusoma zaidi

Follow fav football team, live score & comentary

Ripoti tatizo

91Chukia

No comments:

Post a Comment