MAWE makubwa yameporomoka Leo katika mlima wa Kitonga wilaya ya Kilolo mkoani Iringa na kuziba Barbara kuu ya Iringa -Dar esalaam na nchi za kusini mwa Tanzania.
Katika tukio hili hakuna madhara makubwa yaliyojitokeza zaidi ya kusitisha safari za wasafiri wanaotumia Barbara hiyo.
Endelea kuwa nasi kwa habari za uhakika kwa habari na Matangazo piga simu 0762995785
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Follow fav football team, live score & comentary
102
Chukia
COPY SUCCESS
No comments:
Post a Comment