ERASTO BLOG

MICHEZO NA BURUDANI

Recent Posts

LightBlog

Breaking

Monday, July 30, 2018

Lavalava Azimia Jukwaani , ni Baada ya Kupigwa Busu na Shabiki.

Lavalava Azimia Jukwaani , ni Baada ya Kupigwa Busu na Shabiki.

ghafla.com

Jul 30, 2018 10:01 AM

Kuna video inasambaa katika mitandao ya kijamii ikimunyesha msanii kutoka WCB, Lavalva akiwa jukwaani ana-perform na mara akapigwa busu na moja ya mashabiki zake wa kike aliyepanda jukwaani hapa na ghafla msanii huyo kudondoka na kuzimia.

Msanii huyo ambae baada ya kuzimia ilibidi kupatiwa huduma ya kwanza na kisha kusomewa dua na ndipo alipoamka  , haiafahamika kama swala hilo amelifanya kwa kiki au ilikuwa kweli alikuwa katika hali hiyo.

Hata hivyo hakuna kiongozi yoyote katika kundi hilo alielisemea hilo wala yeye mwenyewe kuhushu tukio hilo ambalo liliwashangaza wengi na kuwafanya mashabiki waanze kuimba kwa nguvu kuwa msanii huyo amekufa.

#Godseeker,
I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.

Tazama yote

Fungua Opera News ili kusoma zaidi

Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.

Follow fav football team, live score & comentary

Ripoti tatizo

182Chukia

COPY SUCCESS

No comments:

Post a Comment