BREAKING NEWS : Imeripotiwa kuwa uongozi wa Coastal Union upo mbioni kumtambulisha Alikiba kuwa mchezaji wao tayari kwa msimu ujao.
Inasemekana tayari Alikiba ameshafanya makubaliano na uongozi huo na muda wowote kutoka sasa watamtangaza .
Install Application ya Udaku Special Uweze Pata Habari Kirahisi Zaidi
=>BOFYA HAPA KUINSTALL/DOWNLOAD
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.
No comments:
Post a Comment