HABARI ZA MASTAA
Mtuhumiwa wa mauaji ya Xxxtentacion alawitiwa gerezani
By
Erasto
on
June 30, 2018
COMMENTS
Mtuhumiwa wa kwanza Dedrick Williamaliyeshtakiwa kwa mauaji ya MarehemuXxxtentacion aripotiwa kulawitiwa akiwa gereza la Broward County na taarifa za harakaharaka zinahusisha kundi la Kodak Black kuhusika na ishu hiyo .
Inaripotiwa kuwa Derick William alikuwa akioga ndipo watu wakamvamia na kumfanyia kitendo hicho na wengine kudai kuwa kutokana na ukaribu aliokuwa nao Marehemu Xxxtentacion na kundi laKodak Black huenda wakahusika mojamoja na tukio hilo.
Kuna uthubitisho wa message zinazodaiwa kuwa zilitumwa na mmoja wa askari wa gereza hilo la Broward County na kitendo hicho kusemekana kilipangwa kufanyika siku ya kuuaga mwili wa Marehemu Xxxtentacion.
Hukumu kwa Mtu atakayewalisha watu nyama ya Mbwa
RELATED ITEMSBONGOFLEVANEWS
COMMENTS
← PREVIOUS STORYMarehemu MJ & Static Major washirikishwa kwenye Album ya Drake “Scorpion”
SOMA NA HIZI
Marehemu MJ & Static Major washirikishwa kwenye Album ya Drake “Scorpion”
HII NI NOMAA!! Huu ndio mkwanja walioingiza Jay Z & Beyonce ‘On The Run II’
Rappa Xxxtentacion alijitabiria kifo? wimbo wa “Sad” wafichua kila kitu
TUPIA COMMENTS
NAPE NNAUYE: “MNATAKA KUTUUA”
DAVIDO ALIVYOMPANDISHA DIAMOND STEJINI
NIFAHAMU WASILIANA NAMI MATANGAZO MKITO PRIVACY POLICY TERMS AND CONDITIONS
Kazi yangu ni kuhakikisha hupitwi, kaa karibu na mimi kwa kubofya hapo chini ☟
Copyright © 2018, Haki Zote Zimehifadhiwa. | Content by millardayo.com | Designed byidodoe.co.tz
#TAGS
TZA HABARIAYO TVBONGOFLEVANEWSSOKA ULAYASOKA BONGOHABARI DAILYMAGAZETIAYOTVAYOTV MAGAZETIBONGOFLEVAVIDEO MPYABUNGENIDUNIANIRAIS MAGUFULIMAREKANIFACEBOOK TWITTER NA INSTAHEKAHEKADIAMOND PLATNUMZMAHAKAMANI
No comments:
Post a Comment