Alichoandika Masanja Kuhusu Diamond Kuzuiwa Uwanja wa Ndege.
by
Erasto brog
Jul 27, 2018 5:05 PM
Moja ya habari zilizosambaa sana katika mitandao ya kijamii leo ni habari ya msanii mkubwa tanzania, Diamond Platinumz kuzuiwa uwana wa ndege kwa kile kilichodaiwa kuwa alikuwa hana kibali vcha kwenda kufanya show nje ya nchi.
Na hata baaada ya mamlaka husika iliyomzuia kuulizwa walisema kuwa wamefanya hivyo kwa diamond ili kuwafunza wanamuziki wengine kufuata utaratibu kuhusu sheria mpya za BASATA.Kila mtu alipokea kwa hisia zake swala hio na mmoja aliyelipokea kwa masikitiko ni msanii wa vichelesho nchini masanja mkandamiza ambae katika akaunt yake ya twitter aliandika
Diamond ni moja kati ya vijana wanaojituma sana ili kufanikiwa na kusaidia watu wengi kufanikiwa.huwezi kupendwa na kila mtu lakini hii sumu ya baadhi ya watanzania kufurahia mtu akipata tatizo au kumzushia upopompo anapofanikiwa au kuchukiwa mtu kupiga hatua inahitaji maombi ya kitaifa.
#Godseeker,
I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.
Tazama yote
Fungua Opera News ili kusoma zaidi
Offline reading without Internet. Download 1000+ news in just 10 seconds.
186
Chukia
No comments:
Post a Comment