Vituko vingine vya Mbunge BWEGE bungeni leo, “tutaandamana” June 25, 2018 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps By Msombe TZA on June 20, 2018 COMMENTS Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara maarufu Mbunge BWEGE amelieleza Bunge kuwa atahamasisha Wabunge wote wa kusini kuandamana endapo Serikali itashindwa kuwalipa pesa zao za korosho wanazodaiwa na wakulima. Comments
Comments
Post a Comment