/
Deadline:
HABARI KUU LEO
Jun 26, 2018
SeifKombeTrumpMeetKimSingaporeMarekaniKaskaziniShutsMAGEREZA
SIKU KAMA YA LEO
Jun 26, 2017
1Okwi Asaini Mkataba Wa Miaka Miwili Simba2Okwi Kuamua Usajili Wa Mastaa3HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE 26,2017
POPULAR ON YOUTUBE
AJALI MBAYA ZILIZOTOKEA ASUBUHI YA LEO
Toyota Coaster T 916 BQE ikiwa imetumbukia mtaloni maeneo ya Sinza Mapambano. Ikionekana kwa nyuma ilipokuwa ikivutwa baada ya kutumbukia mtaloni maeneo ya Sinza Mapambano.…
GPL
Habari Zinazoendana
4 years ago
Michuzi
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
Ankle habari. Leo asubuhi eneo la Mikese, Morogoro, tumekutana na na ajali mbaya sana ya magari mawili, moja la mafuta, kugongana uso kwa uso na kutumbukia mtaroni na yote kushika moto. Inasadikiwa mtu mmoja ambaye ni dereva wa magari hayo kateketea kabisa kwa moto. Picha na Mdau Sixmund
Hakuna cha kufanyika kutokana na moto mkubwa na moshi mwingi wakati magari hayo yakiteketea
Mlipuko mkubwa wakati matenki ya mafuta yakilipuka
Askari wa kikosi cha zimamoto wakijaribu kuuzima moto...
2 years ago
Global Publishers
09MAR
Ajali Mbaya Imetokea Asubuhi Hii Tabata Matumbi, Dar
Maofisa wa Polisi wakiwa eneo la tukio.
Hali ilivyokuwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.
Taswira halisi ya ajali hiyo.
Ajali mbaya imetokea mapema leo asubuhi eneo la Tabata Matumbi- Dar es Salaam ikihusisha magari matatu, daladala (DCM) iliyokuwa na abiria lifanyalo safari zake Gongo la Mboto na Simu2000, Lori lililobeba mchanga na Lori lililokuwa limebeba N’ombe likielekea Vingunguti
Watu ambao idadi yao bado haijafahamika maramoja wanasadikiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa...
1 year ago
Zanzibar 24
07JUN
Habari za Hivipunde: Ajali mbaya yatokea Wete Pemba asubuhi hii
Gari ya abiri aina ya DYNA yenye namba za usajili Z 330 GX lapinduka huko maeneo ya wete pemba, kwa habari zisizo rasmi mtu mmoja afariki papo hapo.
tutaendelea kukupa taarifa hizi kadri tutakvyo zipokea kutoka eneo la tukio…………………
The post Habari za Hivipunde: Ajali mbaya yatokea Wete Pemba asubuhi hii appeared first on Zanzibar24.
2 years ago
Global Publishers
19AUG
Ajali Mbaya Yatokea Mlimani City Leo Alfajiri
Usiku wa Agosti 19 maeneo ya mataa yaliyopo kati ya Mlimani City na Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) ilitokea ajali ya gari ndogo ambayo haikuweza kufahamika kwa haraka kutokana na kugongwa na Lori lililovuka na kuingia hadi kituo cha mafuta kilichopo jirani na mataa hayo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo gari ndogo ilikuwa ikiendeshwa na mwanamke ambaye mwili wake haukuweza kuokolewa kutokana na kubanwa.
Alipopigiwa simu ili kufafanua kama amepata taarifa za ajali hiyo,...
2 years ago
Michuzi
AJALI MBAYA ENEO LA PALM BEACH JIJINI DAR LEO
Salaam Ankal, Leo nimepita maeneo ya Palm Beach wakati nikitokea mjini muda wa SAA 12:15 asubuhi Nimeikuta gari hii aina ya Altezza au Subaru (maana haieleweki kutokana na ilivyoumia) likiwa halitamaniki, inaelezwa kuwa limegonga nguzo ya taa za barabarani. Haijafahamika kulikuwa na watu wangapi na hali zao zikoje mpaka sasa.
4 years ago
Michuzi
05SEP
MGANGA MKUU MKOA WA MARA AZUNGUMZIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO MUSOMA.
3 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
NEWS UPDATES.:Jumla ya watu. 12 wamepoteza Maisha na 22 wamejeruhiwa leo baada ya basi la New Force kupata ajali Eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa barabara kuu ya Iringa- Dar es salaam..
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
4 years ago
Michuzi
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,pichani wa tatu shoto Ruge Mutahaba akiwa sambamba na baadhi ya wasanii waliokuwa wakitarajiwa kutumbuiza leo usiku mjini Musoma kwenye tamasha la Fiesta,lakini hata hivyo Uongozi wa Clouds Media Group,Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji pamoja na Wadhamini wa tamasha hilo kwa pamoja wamekubaliana kuaihirisha onyesho hilo mpaka hapo baadae itakapotangazwa tena.
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
Share
Top 10 Tanzania Today Today Breaking News,Tanzania World News 26-June-2018 in Tanzania
Trending Now
Zinazosomwa Sasa
Soma Habari kuu leo
Habari za Mikoani
ArushaDar es SalaamDodomaIringaKageraKigomaKilimanjaroLindiManyaraMaraMbeyaMorogoroMtwaraMwanzaPembaPwaniRukwaRuvumaShinyangaSingidaTaboraTangaUngujaZanzibar
ABOUT TANZANIA TODAY»
Company
Advertise
Feedback
OUR SERVICES»
Company
Advertise
Feedback
TALK TO US»
Email: info@tanzaniatoday.co.tz
Privacy
Sitemap
Help
NEWSLETTER»
Pata Mkusanyiko wa habari kumi muhimu za siku. Subscribe Now!
Submit Email
AddThis
No comments:
Post a Comment