/
Deadline:
HABARI KUU LEO
Jun 26, 2018
SeifKombeTrumpMeetKimSingaporeMarekaniKaskaziniShutsMAGEREZA
SIKU KAMA YA LEO
Jun 26, 2017
1Okwi Asaini Mkataba Wa Miaka Miwili Simba2Okwi Kuamua Usajili Wa Mastaa3HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE 26,2017
POPULAR ON YOUTUBE
Matukio mbalimbali yaliyojiri leo asubuhi mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Naibu Katibu wa Bunge Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashillah (mwenye miwani) akibadlishana mawazo na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwasili katika ukumbi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
4 years ago
Dewji Blog
26SEP
Matukio mbalimbali Waziri Mkuu Pinda kutoka Bunge mjini Dodoma linakoendelea Bunge Maalum la Katiba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Peter Serukamba (kushoto) na Abdulkarim Shah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mjumbe wa Bunge Maalum la katiba, Abdulkarim Shah (kushoto) na Ayman Jafari kutoka kikundi cha Tulee Yatima Tanzania cha Dar es salaam kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Septemba 26, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajumbe wa...
4 years ago
Dewji Blog
21MAY
Matukio mbalimbali kutoka Bungeni mjini Dodoma linakoendelea Bunge la Bajeti
Waziri wa Ujenzi, Mh. John Magufuli akisoma bajeti ya Wizara hiyo bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kutoka bunge la Uganda , Ssentongo Theopista Nabulya (kushoto) na Dr. Chris Baryomunsi, ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Mei 21, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi akisalimiana na ujumbe wa wabunge kutoka Bunge la...
4 years ago
Michuzi
04MAR
Matukio mbalimbali Bunge Maalum la Katiba Dodoma leo.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Jenista Mhagama (Kushoto) ambaye pia ni Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Bi. Christowaja Mtinda wakiwasili katika ukumbi wa bunge kwa ajili ya Semina ya uundwaji wa kanuni za kuongoza Bunge Maalum la Katiba leo Mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimwelekeza jambo Mtangazaji wa TBC ONE Bw. Shaaban Kissu wakati akiwasili katika katika...
4 years ago
Dewji Blog
29AUG
Matukio katika picha leo Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Fenella Mukangara (kulia) ambaye pia ni mmoja wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzie leo 28 Agosti, 2014 katika eneo la Bunge mjini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati mbalimbali za Bunge Maalum la Katiba wakitoka ndani ya Bunge leo 28 Agosti, 2014 mjini Dodoma.(Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma).
Share
Top 10 Tanzania Today Today Breaking News,Tanzania World News 26-June-2018 in Tanzania
Trending Now
Zinazosomwa Sasa
Soma Habari kuu leo
Habari za Mikoani
ArushaDar es SalaamDodomaIringaKageraKigomaKilimanjaroLindiManyaraMaraMbeyaMorogoroMtwaraMwanzaPembaPwaniRukwaRuvumaShinyangaSingidaTaboraTangaUngujaZanzibar
ABOUT TANZANIA TODAY»
Company
Advertise
Feedback
OUR SERVICES»
Company
Advertise
Feedback
TALK TO US»
Email: info@tanzaniatoday.co.tz
Privacy
Sitemap
Help
NEWSLETTER»
Pata Mkusanyiko wa habari kumi muhimu za siku. Subscribe Now!
Submit Email
AddThis
No comments:
Post a Comment