akika (0) nyuma
Shirika la Umoja wa Mataifa UNODC limesema vyombo vinavyosimamia sheria barani Afrika vinapaswa kushirikiana kwa karibu kukomesha biashara ya mihadarati aina ya Heroin na mingineyo
Afisa wa ngazi ya juu katika ofisi ya kupambana na madawa ya kulevya na uhalifu ya Umoja wa Mataifa UNODC amesema vyombo vinavyosimamia sheria barani Afrika vinapaswa kushirikiana kwa karibu kukomesha biashara ya madawa aina ya Heroin na mengineyo yanayoingizwa katika nchi zao.
Amando de Andres amesema serikali za barani Afrika zilikamata asilimia 1 tu ya tani 658 za bangi,tani 91 za heroin na tano 65 za madawa aina ya Mophine yaliyokamatwa duniani katika mwaka 2016.
Kwa mtazamo wa afisa huyo wa Umoja wa Mataifa nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika hazijakamata kiasi kikubwa cha madawa hayo.
Katika ripoti ya mwaka 2018 kuhusu mihadarati duniani de Andre iliyozinduliwa Nairobi siku ya Jumatatu alisema kwamba hata nchi za Afrika ya Kati na Magharibi zimeshindwa kuchukua hatua kali.
MADA ZINAZOHUSIANA
Lilian Mtono
Tutumie maoni yako.
MAUDHUI ZINAZOFANANA
NRS-IMPORT | 17.02.2017
Nyumba ya wagonjwa wa watumiaji madawa
MATUKIO YA AFRIKA | 17.02.2017
Kisiwa cha utalii kiangamizwacho na madawa ya kulevya
MATUKIO YA KISIASA | 13.07.2017
No comments:
Post a Comment