Accessibility links
Ruka hadi maelezoAccessibility Help
BBC News Swahili Uongozaji
Yaliyomo
Habari za hivi punde
Habari kuu
HABARI ZA HIVI PUNDE Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu
Uchunguzi umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo
3 Aprili 2016
Soma taarifa kwa kina Habari za hivi punde Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu
Al shaabab wazima makomando wa Marekani
Wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa Al shaabab wamezima shambulizi la kuvizia lililotekelezwa na makomando wa jeshi la Marekani
10 Machi 2016
Soma taarifa kwa kina Al shaabab wazima makomando wa Marekani
Taarifa kutoka makao makuu ya jeshi la Marekani Pentagon inasema kuwa shambulizi la ndege isiyokuwa na rubani limewaua wapiganaji 150 wa Al Shaabab Somalia
7 Machi 2016
Soma taarifa kwa kina Marekani yawaua Al-Shabab 150
Manchester United imeilaza Arsenal 3-2 nyumbani kwao uwanjani Old Trafford licha ya kukabiliwa na majeruhi wengi.
29 Februari 2016
Soma taarifa kwa kina Man Utd 3 - 2 Arsenal
FIFA: Rufaa ya Blatter na Platini yatupwa nje
Rufaa iliyowasilishwa kwa kamati ya nidhamu ya FIFA na aliyekuwa rais wa shirikisho la Soka Duniani FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini imetupiliwa mbali.
25 Februari 2016
Soma taarifa kwa kina FIFA: Rufaa ya Blatter na Platini yatupwa nje
Mfuasi wa 'Islamic State' amjeruhi mwalimu Paris
Polisi nchini Ufaransa wanamtafuta mwanaume aliyemdunga na kujeruhi mwalimu katika shule moja iliyoko katika kitongoji cha jiji la Paris Ufaransa
14 Disemba 2015
Soma taarifa kwa kina Mfuasi wa 'Islamic State' amjeruhi mwalimu Paris
Mancity ni wageni wa Aston Villa katika mechi hii ya ligi kuu ya Premia
8 Novemba 2015
Soma taarifa kwa kina Aston Villa 0-0 Man City
Tetemeko la ardhi latikisa Japan
Tetemeko kubwa la ardhi limetikisa mji wa Tokyo Japan muda mchache uliopita
30 Mei 2015
Soma taarifa kwa kina Tetemeko la ardhi latikisa Japan
Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa
Marekani imeelezea kutoridhishwa kwake na kauli ya kuhukumiwa kunyongwa kwa aliyekuwa rais wa Misri Mohamed Morsi hapo jana.
17 Mei 2015
Soma taarifa kwa kina Misri:Marekani yapinga Morsi kunyongwa
Pistorius:Familia ya Reeva yaridhika
Wazazi wa Reeva Steenkamp wameambia BBC kuwa wameridhishwa na hukumu ya miaka 5 aliyopewa Oscar Pistorius kwa kumuua mpenzi wake
21 Oktoba 2014
Soma taarifa kwa kina Pistorius:Familia ya Reeva yaridhika
Habari kuu
'Tunasubiri miujiza kumuepusha mtoto wetu kunyongwa'Padri mwimbaji wa rap asimamishwa kazi KenyaAliyeuzia watu sambuza za nyama ya paka afungwa jela
Gumzo mitandaoni
Drogba: Kunyoa nywele zangu ndefu kumenifaa
Mambo matano marufuku kwa wanawake Saudi Arabia
Mhubiri ataka alipwe awasaidie Nigeria kushinda Kombe la Dunia
Chemsha bongo:Ni nchi gani wiki hii ambayo mtambo wake ya pesa (ATM) ulivamiwa na panya na kusababisha hasara kubwa?
Instagram yazindua IGTV
Je bangi inaweza kuokoa penzi lililozorota?
Tangazo lawahimiza wanawake kuzaa na wachezaji Urusi
Waziri mkuu wa New Zealand ajifungua mtoto wa kike
Maofisa wa wizara ya uvuvi wazua gumzo Tanzania
Mitandao ya Kijamii
FacebookTwitterInstagramSoundCloud
Idhaa
BBC News Swahili Uongozaji
Yaliyomo
Uongozaji BBC
Masharti ya matumiziKuhusu BBCSera ya FaraghaCookiesAccessibility HelpParental GuidanceWasiliana na BBCGet Personalised NewslettersJitangaze na BBCChaguoCopyright © 2018 BBC. BBC Haiwajibiki kwa taarifa kutoka tovuti zisizo zake. Muongozo wetu kuhusu na juu ya wavuti za nje.
No comments:
Post a Comment