ERASTO BLOG

MICHEZO NA BURUDANI

Recent Posts

LightBlog

Breaking

Saturday, June 30, 2018

June 30, 2018

HAYA HAPA MAGAZETI YOTE YA JURY 01-2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 1,2018

by Erasto 9 hrs ago


Magazetini leo Jumapili July 01 2018


Tags :magazetini

Share

Kama Una Habari,Picha,Video,Tangazo n.k Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp +255 757 478 553 ,0625 918 527

Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpyaHAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa

SOMA HABARI HIZI PIA

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 1,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNI 30,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 29,2018

NextYou are viewing Most Recent PostPreviousMECHI ZA MCHUJO RAUNDI YA PILI JUMAPILI JULAI 1 - KOMBE LA DUNIA 2018

TAFUTA HABARI HAPA

INSTALL MALUNDE1 BLOG APP MPYA

VIDEO : BHUDAGALA - BHUHABI

MALUNDE TV

RSS Feed Widget

HABARI KALI ZAIDI WIKI HII

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS JUNI 28, 2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 1,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA JUNI 29,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNI 30,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 25,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JUNI 26,2018

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JUNI 27,2018

HII HAPA RATIBA YA 16 BORA KOMBE LA DUNIA 2018

KADINALI PENGO AFUNGUKA KUHUSU MAASKOFU WACHAGA

LIONEL MESSI ALIPA KISASI KWA RONALDO

CHAGUA HABARI HAPA

HabariMagazetiniMastaaNyimbo Za AsiliShinyangaSiasaUtamaduni Lake ZoneVituko

MAKTABA YETU

 MAKTABA YETU July (2) June (257) May (388) April (394) March (445) February (381) January (369) December (352) November (411) October (357) September (385) August (344) July (373) June (326) May (340) April (254) March (268) February (248) January (245) December (247) November (223) October (279) September (254) August (260) July (319) June (311) May (322) April (370) March (283) February (220) January (206) December (198) November (219) October (214) September (222) August (197) July (193) June (237) May (224) April (243) March (317) February (258) January (278) December (269) November (256) October (272) September (263) August (244) July (283) June (267) May (318) April (287) March (214) February (180) January (81) December (79) November (65) October (29) September (16) August (17) July (13) June (11) May (8) April (2) March (5) February (12) January (7) December (12) November (37) October (42) 

PAKUA APP YA MALUNDE1 BLOG

VIDEO MPYA

FOLLOW US ON TWITTER

Follow @malundekadama

IDADI YA WATEMBELEAJI WA MTANDAO HUU

31854336

© Copyright 2018malunde | designed By MALUND

June 30, 2018

trending story

BBC

South Africa qualify for Women's Africa Cup of Nations

South Africa and Cameroon secure big wins as they qualify for the 2018 Women's Africa Cup of Nations in Ghana.

3 weeks ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO AAGIZA KURUDIWA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA USHIRIKA KILA MAHALI PENYE DOSARI WILAYANI IKUNGI

Na Mathias Canal-WK, Singida

Waziri wa kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba amemuagiza Afisa ushirika wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Ndg Gurisha Msemo kufanya ziara ya kikazi maeneo yote kuliko fanyika uchaguzi wa viongozi wa vyama vya ushirika ili kubaini uhalali wa uwepo wao.

Mhe Tizeba ametoa kauli hiyo mara baada ya wakazi wa Kijiji cha Mkunguakihendo na Misughaa Wilayani Ikungi kuonyesha kutotambua namna walivyochaguliwa viongozi waliopo madarakani kukiongoza chama hicho katika ngazi...

3 weeks ago

Michuzi

BALOZI WA KUWAIT AKABIDHI VIFAA TIBA KWA HOSPITALI KIGAMBONI

 Mkuu wa wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa, leo tarehe 10/6/2018 amepokea ugeni wa Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al Najem.
Mapema akimkaribisha mgeni wake, DC Mgandilwa amemshukuru Balozi Najem kwa moyo wake wa upendo kwa  watanzania hususani wakazi wa Kigamboni. 
Ameeleza kuwa vifaa ambavyo vimetolewa ni vya zaidi ya Shilingi milioni kumi na moja na vinalenga kuondoa changamoto iliyokuwepo katika wodi za akina mama na watoto. 
Vifaa vilivyopokelewa ni pamoja na mashine za...

3 weeks ago

Michuzi

GOR MAHIA ATWAA KOMBE LA SPORTPESA SUPERCUP, KUKIPIGA NA EVERTON GODSON PARK

 Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Klabu ya Soka ya Gor Mahia ya nchini Kenya imeendeleza ubabe wake kwa kunyakua kombe la Sportpesa Super Cup kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuifunga Simba ya Tanzania kwa goli 2-0 katika Uwanja wa Afraha Kwenye Jiji la Nakuru nchini Kenya
Kombe la Sportpesa Super Cup lilianzishwa mwaka jana 2017 na kufanyika nchini Tanzania ambapo Gor Mahia wajulikanao kama K'Ogalo kuwafunga mashemeji zao Fc Leopard.
 Gor Mahia  walioanza kwa kasi toka kwenye mchezo wa...

3 weeks ago

Michuzi

JULIO ASEMA, UWEZO WA ALI KIBA SIO WA NCHI HII.

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Kocha Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema kuwa uwezo wa kimpira wa msanii Ali Saleh Kiba ni wa kucheza soka la kulipwa la kimataifa nje ya nchi.
Hayo aliyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hisani wa kuchangia fedha kwa ajili ya ukarabati wa miundi mbinu mashuleni uliopewa jina la NIFUATE baina ya Marafiki wa Ali kiba na Marafiki wa Mbwana Samatta.
Julio amesema kuwa, uwezo wa Ali Kiba ni mkubwa sana na mara nyingi amekuwa anamuomba amsajili katika timu...

3 weeks ago

Michuzi

MTANZANIA AMUANDIKIA SAMATTA KITABU.

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Mtanzania Peter .W. Ching'ole ambaye ni mwanazuoni na mtafiti wa masuala mbalimbali ya kijamii akiwa amehitimu shahada ya uzamili (Master's Degree) amemuandikia kitabu cha maisha ya soka ya mchezaji wa kimataifa anayekipiga nchini Ubelgiji Mbwana Samatta.
Ching'ole ameandika kitabu hicho kikiwa kinaelezewa maisha ya Samatta toka kuanza kwake kujihusisha na mpira mpaka hapa alipo sasa hivi akisaidiwa na kupata taarifa mbalimbali kutoka kwa mzazi wake Ally...

3 weeks ago

Malunde

10JUN

GOR MAHIA WAIPA KICHAPO SIMBA SC...SAFARI YA LIVERPOOL BASI TENA

Moja kati ya siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Bongo ni leo June 10 2018, kwani ndio ilikuwa siku inayochezwa mchezo wa fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup 2018 kwa kuzikutanisha timu za Simba SC dhidi ya Gor Mahia.
Game ya fainali ilichezwa katika uwanja wa Afraha Nakuru nchini Kenya lakini kikubwa ukiachilia mbali zawadi ya Kombe na pesa, zawadi ya Bingwa kwenda katika jiji la Liverpool England katika uwanja wa Goodson Park iliongeza hamasa na mvuto wa game...

3 weeks ago

Michuzi

10JUN

ELIMU BORA KUIWEZESHA TANZANIA KUPIGA HATUA YA UCHUMI WA VIWANDA

Benny Mwaipaja, WFM, Kondoa
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amesema kuwa uwekezaji katika elimu bora kwa vijana wa kike na wa kiume kutaiwezesha Tanzania kufikia uchumi wa kati wa viwanda hata kabla ya mwaka 2025.
Dokta Kijaji ameyasema hayo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma, wakati wa uzinduzi wa kambi inayowahusisha wanafunzi 260 wa kidato cha pili na cha nne kutoka shule 23 za Sekondari wilayani humo wanaopatiwa mafunzo ya kina ili kujiandaa na mitihani yao.
Kambi hiyo...

3 weeks ago

Michuzi

PS 3 YABORESHA WATENDAJI WA UMMA NCHINI

Mwezeshaji wa mafunzo ya WISN PLUS POA ,Joram Kiungo toka Tamisemi akitoa somo kwa washiriki wa mkoa wa Dar jinsi ya utoaji wa taarifa za kimfumo katika upangaji wa watumishi katika halmashauri zao Mafunzo ya siku mbili yaliyoanza leo mkoani mtwara na kufanyika katika kanda 6 Nchini na kusimamiwa na tamisemi kupitia mradi wa uboreshaji wa mifumo ps 3 chini ya ufadhili wa USAID. 
Na Abdulaziz Ahmeid, MtwaraWAKATI Serikali inatarajia kuajiri katika sekta ya afya watumishi wapya 7680...

3 weeks ago

Michuzi

MAWAIDHA YA BABA CHRISTIAN LIKOKO MAZIKONI KIJIJINI MBOGA MKOA WA PWANI

3 weeks ago

Michuzi

JAFO AZITAKA TAASISI ZA SERIKALI ZINAZOJISHUGHULISHA NA UJENZI KUWA KINARA WA UBORA KWENYE KAZI.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi)Selemani Jafo amezitaka Taasisi za serikali zinazo shughulika na masuala ya ujenzi kuwa kinara kwa ubora wa kazi zinazotekelezwa na taasisi hizo.
 Jafo ameyasema hayo leo alipokuwa akikagua ujenzi wa jengo la halmashauri ya Makambako mkoani Njombe linalo jengwa na kampuni ya  MZINGA CORPORATION.
Katika ukaguzi huo, jafo ameagiza kazi hiyo ifanyike kwa ubora wa hali ya juu ili kuliwezesha jengo hilo kudumu kwa miaka...

3 weeks ago

VOASwahili

10JUN

Tanzania yawapa nasaha wanajeshi wanaolinda amani

Wanajeshi wa Tanzania wanaolinda amani wametakiwa wasikatishwe tamaa na matukio ya mashambulizi wakati wanapokuwa katika ulinzi wa amani kwa kuwa wanatimiza wajibu wao.

3 weeks ago

Malunde

10JUN

ZIJUE MECHI 5 ZILIZOACHA ALAMA KOMBE LA DUNIA

Ikiwa zimebaki siku nne kabla ya kuanza kwa mashindano ya kombe la Dunia nchini Urusi, kampuni ya michezo Gracenote imetoa michezo mitano ya kombe la Dunia ambayo ilitoa matokeo ambayo hayakutarajiwa na wapenzi wa soka.
Michezo ifuatayo ndiyo ilitoa matokeo ya kushangaza zaidi tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kombe la Dunia kwa mujibu wa Gracenote.
5. Uruguay 2-1 Brazil 1950
Mchezo huu unashika nafasi ya tano ni kati Uruguay dhidi ya Brazil katika mashindano yaliyofanyika mwaka 1950 nchini...

3 weeks ago

Malunde

10JUN

HIZI NDIYO TIMU 5 AMBAZO HAZINA UZOEFU KOMBE LA DUNIA 2018

Kuelekea fainali za Kombe la Dunia 2018 zinazoanza Alhamisi Juni 14 nchini Urusi, yafuatayo ni mataifa ambayo wachezaji wake wamechezea mechi chache zaidi katika timu zao hivyo kuwa na uzoefu mdogo.
Timu ya taifa ya Uingereza imeingia kwenye orodha hiyo ikiwa na kikosi cha wachezaji 23 ambao wameichezea timu hiyo kwa jumla ya mechi 465 hivyo kushika nafasi ya pili katika timu ambazo hazina uzoefu.
Nafasi ya tano inashikiliwa na timu ya taifa ya Serbia ambayo wachezaji wake 23 waliokwenda Urusi...

3 weeks ago

Daily Nation

10JUN

Maasai Mara hotels set for wildebeest migration


Daily Nation
Maasai Mara hotels set for wildebeest migration
Daily Nation
Hotels, lodges and tented camps at the Maasai Mara National Reserve are fully booked ahead of the wildebeest migration next month. The managers of the facilities said they are all set for the wildebeest migration, but added that they might be forced to ...

and more »

3 weeks ago

BBCSwahili

Gor Mahia yaichapa Simba 2-0 mchezo wa fainali kombe la SportPesa

Gor Mahia imetetea ubingwa wake kwa kuichapa Simba ya Tanzania magoli 2-0 kwenye michuano ya SportPesa iliyofanyika nchini Kenya

3 weeks ago

Michuzi

FUTARI YA PAMOJA DMV

 WaTanzania wa DMV wakiwasili kwenye futari ya pamoja inayoandaliwa na Jumuiya ya Kiislamu DMV(TAMCO) wakati wa mfungo wa mwezi wa ramadhan. Hii ilifanyika siku ya Jumamosi June 9, 2018 Silver Spring, Maryalnd. Picha na Vijimambo na Kwanza production chini ya udhamini wa Kilimanjaro Studio.WaTanzania waliojumuika pamoja na marafiki zao wakipata ukodak moment kwenye futari ya pamoja.
Rich Maka kutoka Massachusetts (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa TAMCO DMV Ally Mohammed...

3 weeks ago

Michuzi

WATANZANIA TUSIKUBALI KUCHONGANISHWA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wasikubali kuchonganishwa na kwamba Serikali haiongozwi kwa misingi ya kidini bali imeziachia taasisi za kidini zifanye kazi kwa kuzingatia Katiba , Sheria za nchi na malengo yaliyokusudiwa katika uanzishwaji wake. 
Aliyasema hayo jana jioni (Jumamosi, Juni 9, 2018) alipozungumza na viongozi na wananchi wa Mkoa wa Mwanza baada ya kushirikiana nao katika futari aliyowaandalia. Shughuli hiyo ilihudhuriwa na waumini wa dini ...

3 weeks ago

Michuzi

10JUN

Makamu wa Rais ashiriki ibada ya kumuweka Wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Mch. Dkt. Isaac Kissiri Laiser wa KKKT mkoani Tabora

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo mara baada ya kuwasili kwenye Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na kumuweka Wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Mch. Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mch. Newton John Maganga, mkoani Tabora leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

3 weeks ago

Michuzi

DAWASA YAENDELEA NA MIRADI YA KUSAMBAZA MAJI, KUONGEZA MTANDAO WA MABOMBA

Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam(DAWASA) imesema pamoja na mikakati mbalimbali waliyonayo hivi sasa inatekeleza miradi mbalimbali ya usambazaji maji.
Akizungumza jijini Dar es Salaam Meneja Uhusiano wa DAWASA Nelly Msuya amesema usambazaji huo wa maji unaenda sambamba na kuongeza matenki na mtandao wa mabomba.
Amesema usambazaji huo pia utafanyika zaidi maeneo ambayo hayakuwa na huduma bora na maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya viwanda.Msuya ameongeza...

Trending News

Zinazosomwa Sasa

Soma Habari kuu leo 

Habari za Mikoani

ArushaDar es SalaamDodomaIringaKageraKigomaKilimanjaroLindiManyaraMaraMbeyaMorogoroMtwaraMwanzaPembaPwaniRukwaRuvumaShinyangaSingidaTaboraTangaUngujaZanzibar

Used TOYOTA Cars for Sale


ABOUT TANZANIA TODAY»
Company
Advertise
Feedback

OUR SERVICES»
Company
Advertise
Feedback

TALK TO US»
Email: info@tanzaniatoday.co.tz
Privacy
Sitemap
Help

NEWSLETTER»